Wednesday, May 30, 2012

RUSHWA NA TRAFIC NI BIASHARA MPYA ???

Share it Please
Siku hizi trafic kukusimamisha na kukuomba rushwa ni jambo la kawaida na limekua kama biashara
kwa sasa na mtandao wake ni mkubwa sana maana nimesikia hawa polisi wadogo hupeleka hesabu kwa mabosi wao.Swali la kijiuliza  je takukuru hawalifahamu hilo au hata wenyewe wanahusika na hilo
huku kwetu kibaha kuna maeneo matatu maarufu kwa trafic wala rushwa eneo la kwanza ni mizani ya kupima mizigo.bwawani na stendi ya mailmoja.Polisi wanachukua rushwa wazi wazi watu wa malori na mabasi kila wakipita lazima watoe 2000 mpaka 10000 na ikifika saa kumi jion hata polisi wa kawaida utawakuta wanasimamisha magari utadhani na wao ni trafic cha kuchekesha hawajui hata sheria za barabara

Hali hii itaisha lini kama maisha ni magumu ni kwa kila mtu sio polisi peke yao.Wanao husika watusaidie kwa hili jamani ni keroooooooo,

No comments :

Post a Comment

Followers